KAZI NZURI ILIYOFANYWA NA MSANII SAIDI ADRAMAKISH KUTOKA DAR ES SALAAM

Hii ndio kaswida mpya ya msanii wa kaswida nchini tanzania Saidi adramakish 
Weka nia utafikia malengo Hu ndio msemo wa wahenga wakisema siku zote nia ndio kufikia malengo bila kukata tamaa katka maisha kwani mungu yupo pamoja na mwenye kuwa na subra.

Comments

Popular posts from this blog